Latest Games :
Home » » MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA

MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA

Jumamosi, 7 Aprili 2012 | 0 maoni

MKUTANO ULIOFANYIKA ARUSHA

wamesema kuwa kuna wanachama ccm walioamia
kwenye chama chadema Wasema wameama ccm kwa kumkataa ROWASA
siosiri mati ulikuwa mkubwa sana uko arusha na mkutano umeshaisha ambao
ulikuwa unarushwa kupitia ARUSHA MAMBO FM ONLINE
lakini kuna muda ilisumbua kidogo sikuweza kupata taarifa ya mkutano zaidi kutokana
na matatizo ya urushaji wa matangazo kwa kutumia internet ulisumbua katika
radio ya RUSHA MAMBO FM



lakini wanachama wanaotaka kuamia chadema wameambiwa wafuate kadi za kujiunga
wameambiwa waende ofice ya chama GALNALO
mheshimiwa nassari mbunge wa chadema  juumanne ataelekea bungeni kuapishwa bungeni
chadema wametangaza kuwa wana arusha watakao taka kuwasindikiza mbunge wa arumeru msafala utanzia
majani ya chai saa mbili kamili asubuhi kuelekea dodoma
Share this article :

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | chrisantus and friends | Mas Template
Copyright © 2015. Tanzania yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger