Latest Games :
Home » » AJALI YA MABASI RATCO NA NGOLIKA

AJALI YA MABASI RATCO NA NGOLIKA

Alhamisi, 9 Aprili 2015 | 0 maoni

Basi kampuni ya ratco ya kutoka tanga na ngorika kutoka arusha zimegongana uso kwa uso muda huu eneo la tengwe idadi ya vifo ni vingi ila idadi bado aijajulikana pia gari aina ya noah ndiyo iliyosababisha ajali hiyo kwenye noah inasemekana ni familia moja wote wamefariki taarifa kamili itakuja.


Habari kamili itawafikia.....@steve mnyifuna

Share this article :

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | chrisantus and friends | Mas Template
Copyright © 2015. Tanzania yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger