Latest Games :
Home » » Wanafunzi wakifanya mtihani kwa tabu

Wanafunzi wakifanya mtihani kwa tabu

Ijumaa, 23 Machi 2012 | 0 maoni

Elimu ya tanzania inabidi iangaliwe wanafunzi wanasoma katika mazingira magumu
mimi naomba maoni yenu wananchi mwalimu anawatoa wanafunzi nje kufanya mtihani wakati nje kunajua kali na bila shaka mwanafunzi akilalamika  mwalimiu hapa jua atapata viboko asivyo vitegemea hii haifahi 
Tuwasomeshe watoto katika mazingila mazuri tunajua tunashida lakini matatizo mengine yanasababiswa na uongozi wetu 
nini kifanyike wananchi toeni maoni yenu kupitia page hii ya tanzania yetu
vilevile naona kunashule zengine ziondolewe kabisa mfano unakuta shule ina matokeo mabaya mfululizo
walimu waondolewe shule iondolewe maana imeshindwa kuwaandaa wanafunzi katika mtihani 
nakama kuna wanfunzi watukutu basi hawana sifa yakuwa wanfunzi nao waondoke pia



Share this article :

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

 
Support : Creating Website | chrisantus and friends | Mas Template
Copyright © 2015. Tanzania yetu - All Rights Reserved
Template Modify by Creating Website
Proudly powered by Blogger